Wednesday, November 11, 2009

GITHONGO AENEZA USHOGA PWANI.

Nilishangaa sana wiki jana kugundua kuwa Bwana John Githongo ni jamaa ambaye anapendwa na wazungu kwelikweli.nilikuwa sijawahi kuamini kwamba ilikuwa ukweli tangu neno lilipoenea kwamba yeye ni shoga.Lililonishtua zaidi ni vile bwana githongo mwenyewe alikubali kuwa yeye haoni shida yoyote kwa mtu kuwa shoga.alijaribu kutoa maelezo mengi kuhakikisha kwamba kila mtu amekubaliana naye kwa matendo haya.Bwana Githongo alitetea ushoga kwa hoja kali kali akidai kwamba hiyo ni haki kama haki zingine zozote.Watu wengi walipigwa na butwaa wakati hata yeye mwenyewe alikiri kuwa shoga na kuelezea umati kwamba anapanga kufanya ndoa hivi karibuni akiongeza kuwa mpenzi wake ni bwana mwingine wa kizungu ambaye ana hela si haba.
Sikujua kwamba hiyo ndiyo iliyokuwa ajenda tuliyoitiwa na kundi moja linalojiita ZINDUKO TRUST ambalo kiongozi wake ni bwana gitongo.Githongo alizidi kuambia waliohudhuria kuwa ushoga wake ni wa kuzaliwa na alirithi kutoka kwa babake ambaye alikuwa mfanyikazi wa wabeberu wakati wa ukoloni.Alisistiza kwamba ni muhimu mashoga kama yeye na wengine wawe na uhuru kama watu wengine na pia wachaguliwe kuongoza nchi hii.Hayo yalinisikitisha sana kwa sababu kulikuwa na fununu hapo awali kwamba Githongo amepewa hela nyingi na waingereza ili aeneze elimu ya ushoga nchini.Inasemekana kwamba yeye hutuma taarifa kwa wafadhili wake kila baada ya wiki mbili ya kufanya mikutano kama hiyo ambayo nia yake ni kupotosha vijana kwa kutumia hela za waliotukoloni.Wazazi wengi wameskitishwa sana na tabia za watu kama hawa.Kinacholeta kiwewe zaidi ni kuwa huyu bwana yuasema ataka kuwa kiongozi wa nchi hii.Wafadhili wake wanasema watamsaidia tu kama atahakikisha kwamba kuna mashoga wengi watakaoruhusiwa kusafiri ulaya na kufanya arusi kama ile ya chege.Mkutano huo ulifanyika Malindi katika hoteli moja ya bwana aitwaye Sam Rateng .
Kile kinachonikasirisha ni kuona vijana wetu wakimsikiza mtu ambaye ni mtumishi na mtumwa wa mataifa ya magharibi ambao wamejitolea kwa uwezo wote kuhakikisha kwamba maadili ya kiafrika inadidimia.Hawajali majanga kama ya njaa ama kueneza demokrasia vile wao hudai lakini wamejitolea kuhakikisha kwamba watu kama Githongo wanapewa hela si haba ili kueneza kasumba ya mkoloni.

Naomba uwaelezee wengine habari hizi wasije wakapotoshwa.

mimi wako,
Ali Ibrahim Mansur,Kutoka malindi.

GITHONGO AENEZA USHOGA PWANI.

Nilishangaa sana wiki jana kugundua kuwa Bwana John Githongo ni jamaa ambaye anapendwa na wazungu kwelikweli.nilikuwa sijawahi kuamini kwamba ilikuwa ukweli tangu neno lilipoenea kwamba yeye ni shoga.Lililonishtua zaidi ni vile bwana githongo mwenyewe alikubali kuwa yeye haoni shida yoyote kwa mtu kuwa shoga.alijaribu kutoa maelezo mengi kuhakikisha kwamba kila mtu amekubaliana naye kwa matendo haya.Bwana Githongo alitetea ushoga kwa hoja kali kali akidai kwamba hiyo ni haki kama haki zingine zozote.Watu wengi walipigwa na butwaa wakati hata yeye mwenyewe alikiri kuwa shoga na kuelezea umati kwamba anapanga kufanya ndoa hivi karibuni akiongeza kuwa mpenzi wake ni bwana mwingine wa kizungu ambaye ana hela si haba.
Sikujua kwamba hiyo ndiyo iliyokuwa ajenda tuliyoitiwa na kundi moja linalojiita ZINDUKO TRUST ambalo kiongozi wake ni bwana gitongo.Githongo alizidi kuambia waliohudhuria kuwa ushoga wake ni wa kuzaliwa na alirithi kutoka kwa babake ambaye alikuwa mfanyikazi wa wabeberu wakati wa ukoloni.Alisistiza kwamba ni muhimu mashoga kama yeye na wengine wawe na uhuru kama watu wengine na pia wachaguliwe kuongoza nchi hii.Hayo yalinisikitisha sana kwa sababu kulikuwa na fununu hapo awali kwamba Githongo amepewa hela nyingi na waingereza ili aeneze elimu ya ushoga nchini.Inasemekana kwamba yeye hutuma taarifa kwa wafadhili wake kila baada ya wiki mbili ya kufanya mikutano kama hiyo ambayo nia yake ni kupotosha vijana kwa kutumia hela za waliotukoloni.Wazazi wengi wameskitishwa sana na tabia za watu kama hawa.Kinacholeta kiwewe zaidi ni kuwa huyu bwana yuasema ataka kuwa kiongozi wa nchi hii.Wafadhili wake wanasema watamsaidia tu kama atahakikisha kwamba kuna mashoga wengi watakaoruhusiwa kusafiri ulaya na kufanya arusi kama ile ya chege.Mkutano huo ulifanyika Malindi katika hoteli moja ya bwana aitwaye Sam Rateng .
Kile kinachonikasirisha ni kuona vijana wetu wakimsikiza mtu ambaye ni mtumishi na mtumwa wa mataifa ya magharibi ambao wamejitolea kwa uwezo wote kuhakikisha kwamba maadili ya kiafrika inadidimia.Hawajali majanga kama ya njaa ama kueneza demokrasia vile wao hudai lakini wamejitolea kuhakikisha kwamba watu kama Githongo wanapewa hela si haba ili kueneza kasumba ya mkoloni.

Naomba uwaelezee wengine habari hizi wasije wakapotoshwa.

mimi wako,
Ali Ibrahim Mansur,Kutoka malindi.

Wednesday, November 4, 2009

LAWYERS WORST PEOPLE TO HEAD THE KENYA ANTI CORRUPTION COMMISSION

I am not a believer in collective condemnation but I somehow find the history about certain matters very interesting. when a certain phenomena develops a pattern of events which appear to be repeating the same pattern over a given period of time, precedence determines the likelihood that the pattern will always be repeated in future,hence the phrase 'history repeats itself'.all over the world,it has become so apparent that the study of law perfects someone's ability to lie,and not only argue but argue to win the argument by justifying whatever he says whether right or wrong.the law itself is studied and made on the basis of an argument .it is a profession that therefore somehow focuses more on ability to advance a winning argument rather than think,reason,apply wisdom and knowledge in pursuit of truth and justice.
In Kenya,the part of the country's history covered both in the political and economic spectrum,the law and the professionals in its practice have used arguments as trained to advance lies and defend the wrongdoers while knowing that its immoral.
Kenyan law has made many lawyers who now represent the worst that happens in this country. look at the following scenarios:Julie Ward murder;the law exonerated the murderers whom the police had worked hard to investigate and get close to truth. Chlomondeley case is another example,the assassination of Hon.David Kimutai Too is another case in point. because OF greed someone came to court to defend that policeman who murdered Hon .Too. These are just a few examples that expose the greed of lawyer. Some of them have swindled money belonging to clients .this is not a profession of noble men. The problem Kenyans are facing now come because of the interests of lawyers who are ready to work for money through making false arguments. Sincerity is an alien word in this profession. Therefore insinuation that they are most qualified to run an anti corruption commission is a a nightmare which Kenyans are taking too long to discover. It didn't work with Ringera and it cant work under anyone in the legal profession. Those unfortunate advertisements should be revoked so that responsible Kenyans of goodwill with good intentions can lead the anti corruption war. .

The right person to head the anti corruption commission should be one dedicated and with ability to unravel all corrupt practices but not one who is trained in financial greed and arguments .As we work towards improvement of service delivery and performance in our institutions,we must also change the professions that have failed before,because we need work to be done and not mere arguments. No lawyer is going to bring solutions anywhere-.
Moses Jackson Onyancha
mjonyancha@yahoo.com

Tuesday, November 3, 2009

LAWYERS ARE TRAINED TO ARGUE, AND JUSTIFY INJUSTCES-THEY CANT FIGHT CORRUPTION.

I have always wondered why certain slots are always reticent for lawyers - with due respect to this very good profession.

I do have enough reasons to believe that if we are determined to have a clean country; lawyers should be the last ones to consider in public appointments especially in matters to do with fighting corruption. In fact there should be a note on every appointment stating clearly that ‘’if you are a lawyer, you need not to apply for this job’’ The continued a advertisements that lawyers are the only ones who should head the anti-corruption commission(KACC) war should be rejected by Kenyans.

But even more essentially, are we missing the bigger picture? By burning up energies on who should or should not be head of KACC, whether or not KACC should be disbanded, whether Wako or Gicheru should be the next target, etc, aren't we really missing the focus? To what extent do these cosmetic actions lead to real change in Kenya? I have no answer, but am certain that together we cannot only get the answer but also execute it. I also know that it must go beyond Ringera, AG, PNU, ODM, you and I. Its all about the will and ability to do the job. lawyers have proved unable and therefore unqualified to do the right thing or they have been deliberately ready to justify their failures by bringing forth so many arguments(as their profession teaches) that include ‘frying mbig fissch’,’slaying monsters’.it should also include change in attitude and mindset of lawyers, other professionals (including my own), middle-class, and ordinary Kenyans - without which transformational change is not possible. In short, we must look at the bigger picture (without ignoring - but not over-concentrating on - the smaller pictures). One of my policies: Think big, start small, scale fast.

I actually think that one of the tragedies of our reform movement in Kenya, and the reason it is not going anywhere, is that it has been "lawyerized" to the extreme. We have moved from the point where politicians monopolized reform talk to one where lawyers monopolize reform processes and institutions. It is not clear to me that lawyers of the mould that one finds in Kenya, are necessarily best qualified for this. There is no reason why all the key reform institutions should be led or filled with lawyers.

Our first Minister for Justice and Constitutional Affairs was Tom Mboya. He was not a lawyer, but no one has ever suggested that he was any less effective in his job. I think we are in danger of confusing the input with the output. I agree that law is an important input into the process of governance, but the truth is that there is much more to governance than law.

Watching the recent debates in Parliament about Ringera, convinced me beyond doubt that just as we insist soldiers should remain in the barracks; advocates should remain in the courtroom. There is an analogy between the advocate in politics with the professional boxer in a street fight. If you watch our lawyers in Parliament, it is evident that they do not distinguish between arguing there and arguing in court.

The legal profession engenders individuals solely trained to argue in support or against something whether wrong or right all depending on the side of the bread that is buttered. the lawyers are taking advantage of this country and its high time Kenyans realized that some jobs are meant for people who have the will and dedication to other than those who claim to have professional authority to argue and justify wrong things. such people can not be entrusted to fight corruption. its the kind of recycling we should avoid because at KACC the three officials who were forced to resign after irregular reappointment were all lawyers by profession. Since the only power they had was the academic training in arguments, they had not been able to do anything significant in the fight against corruption for five years. That is why we must be determined to join hands and fight this conspiracy by people in the legal profession who imagine that any public appointment is meant for them. Examples are many; do you need a degree in law to head the elect oral commission? Do you have to have a degree in law to lead the boundaries commission? Do you have to have a degree in law to know that stealing public resources is bad? The examples of lawyers in power has always impacted negatively historically even during the days of Jesus Christ .Jesus openly rebuked these fellows who in the bible are referred to as teachers of the law. They always corrupted the law to suit their selfish whims. That is what is happening in Kenya now .most of the public servants who have been given jobs on the strength that they belong to the legal profession have always failed. Now is the time that we need to face and act on the basis of the truth and not arguments. We need to fight this conspiracy by these people in the legal fraternity, if we are truly dedicated to getting rid of bad practices like corruption. It’s the same lawyers who use the law to perpetrate and defend acts of corruption and other social evils through morally unjustifiable arguments when they appear in court. This sort of conspiracy has got many organisations unawares and now they are enslaved by these people who are trained to argue but do nothing practically beneficial. without necessarily naming names, I would like you to reflect on the kind of individuals we have had as lawyers and the kind of mess they have created in this country. the anti corruption chief should be a person with an understanding in carrying out investigations and with the self will. HOWEVER ,most important is the person who has will and intention to fight corruption, not one who is merely going to engage us in debates, based on the training in his profession. NOT A LAWYER.

We need to change this mindset of recycling individuals in the name of searching for lawyers to fill any vacant position available. I reject the conspiracy.

josephkipkorir@yahoo.com

mzalendowabidii.blogspot.com